Monday, April 25, 2011

hahaha wadau hichi kikatuni ni soo... vijana wanapigana wakiwa uchi, daaaaaaamn...!!!

hahahaha HIVI vikatuni vya mfalme AFANDE SELE... sijui ni dalili za kufuliaaa ama ni kusaka usuperstar kwa nguvu...lol


Sunday, April 24, 2011

lol... vikatuni ndan ya club... watoto wamekosa wakuwabambia wanaserebuka peke yao